#Local News

WANAFUNZI HEWA WAIPUNJA SERIKALI

Zaidi ya wanafunzi hewa 50,000 wamekuwa wakinufaika na mgao wa serikali wa shilingi elfu 15, uchunguzi ukionyesha kwamba baadhi ya shule ziliongeza idadi ya wanafunzi ili kuilaghai serikali.

Haya ni kwa mujibu wa katibu mkuu katika elimu ya msingi Julius Bitok, akisema Sakata hiyo imesababisha kufujwa kwa mamilioni ya pesa.

Bitok aliyasema haya akiwa mbele ya kamati ya elimu bungeni, akiongeza kuwa uchunguzi ulioendeshwa katika shule elfu 17 kati ya elfu 32.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WANAFUNZI HEWA WAIPUNJA SERIKALI

MGOMO WA WAHADHIRI WAINGIA SIKU YA 2

WANAFUNZI HEWA WAIPUNJA SERIKALI

IEBC YALALAMIKIA UKOSEFU WA FEDHA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *