MBIO ZA NYIKA ZA ITEN ZA PAMBA MOTO

Huku Msururu wa Riadha wa Kenya (AK) ukielekea Iten Jumamosi hii, matarajio ni makubwa kwa mashindano makali katika eneo hili la “Home of Champions.” Mechi hii ya mkondo wa tatu, iliyoandaliwa katika Kaunti ya Elgeyo-Marakwet, inatazamiwa kuvutia wanariadha wa kiwango cha juu kutoka eneo la North Rift, na hivyo kuimarisha urithi wa Iten kama uwanja […]

RUUD AVUNA USHINDI KAMA KAIMU MENEJA

Ruud Van Nistelrooy alianza kwa ushindi kama meneja wa muda wa Manchester United kwa kuifunga Leicester 5-2 na kuingia robo-fainali ya Kombe la Ligi siku ya Jumatano Arsenal na Liverpool walikuwa miongoni mwa timu nyingine zilizojikatia tiketi ya kucheza nane bora, lakini Chelsea walichapwa 2-0 na Newcastle. Gwiji wa United akiwa mchezaji, Ruud Van alisisitizwa […]

KOCHA WA PIPELINE ATAZIMIA MSIMU MKALI SANA

Kocha mkuu wa Kenya Pipeline Geoffrey Omondi anasema mashabiki wanatarajia pambano kali kutoka kwa Oilers katika msimu mpya wa Ligi ya Kitaifa ya Shirikisho la Mpira wa Wavu nchini Kenya kufuatia matokeo ya chini katika kampeni mbili zilizopita. Mabingwa hao wa zamani wataanza kampeni mpya kwa mtihani mgumu dhidi ya wapinzani na washindi wa ligi […]

FIRAT ANOA MAKALI KIKOSI CHAKE

Mabeki David ‘Cheche’ Ochieng na Siraj Mohammed na wafungaji bora wa Ligi Kuu ya Kenya Francis Kahiro (KCB) na Ryan Ogam (Tusker) na kiungo wa Bandari Fidel Origa wameitwa kwenye timu ya taifa Harambee Stars. Kocha Engin Firat aliwaita watatu hao wakati Stars ikijiandaa kupindua kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Sudan Kusini watakapomenyana katika […]

WAZAZI WATAKA HAKI KWA WANAO WALIOFANYA KPSEA GHUSHI

Wazazi ambao watoto wao walifanya mtihani ghushi wa KPSEA wanaitaka wizara ya eimu kuharakisha uchunguzi na vile vile kuwapa mwelekeo. Wazazi wa Shule ya Silver Bells Academy huko Eldoret wamekashifu hatua ya wanao kufanyiwa mtihani ghushi wa Tathmini ya Elimu ya Shule ya Msingi ya Kenya (KPSEA). Wakiongozwa na Wilson Ndege, wazazi hao sasa wanaitaka […]

GAVANA NATEMBEYA ASEMA KAUNTI YA TRANSNZOIA INA UMASIKINI WA HALI YA JUU

Gavana wa kaunti ya Transnzoia George Natembeya ameibua madai kwamba licha ya kaunti hiyo kuwa gala la kitaifa kwa kuwa na arthi kilomita 515 000 mraba yenye rotuba kaunti hiyo ina umasikin I wa hali ya juu wa asilimia 58.7. Kulingana na Natembeya hali hiyo inachochewa na ukosefu wa raslimali za kutosha kuwawezesha wakulima ,mizozo […]

DUALE: MSWADA WA KUONGEZA MUHULA WA URAIS HAUTAFAULU

Waziri wa Mazingira Aden Duale sasa anasema azma ya kuongeza muhula wa urais kutoka miaka mitano ya sasa hadi miaka saba haitafanikiwa. Duale amewahakikishia Wakenya kwamba hakuna haja ya kuwa na wasiwasi kuhusu Mswada huo, ambao umeibuliwa na Seneta wa Nandi Samson Cherargei. Mswada huo pia unahusu kuongezwa kwa kikomo cha muda kwa wawakilishi wadi, […]

RUTO AELEKEA BURUNDI KWA MKUTANO WA COMESA

Rais William Ruto amesafiri hadi Burundi kuhudhuria Mkutano wa 23 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa COMESA mjini Bujumbura. Katika taarifa ya msemaji wa ikulu Hussein Mohamed, mkutano wa mwaka huu utaadhimisha miaka 30 ya COMESA ambayo ni muungano muhimu wa kibiashara kwa bara hili. Ikiwa na soko la pamoja la watu milioni 640 […]

KPSEA: FAMILIA ELDORET YASIKITIKIA MTIHANI

Huku wanafunzi wa gredi ya 6 wakikamilisha mtihani wao wa kitaifa wa KPSEA ambao umedumu kwa siku 3, familia moja jijini Eldoret kaunti ya Uasin Gishu inasikitika hatua ya mwanao mwenye umri wa miaka 14 kukosa kuufanya mtihani huo licha ya kusoma katika gredi ya 6 kwa mwaka mzima. Kulingana na wazazi wake, shule ya […]

UASU YASISITIZA MGOMO UNGALIPO

Shughuli za masomo katika vyuo vikuu vya umma zimeendelea kuathirika kwa siku ya pili sasa kufuatia mgomo wa wahadhiri, ambao wamesisitiza kwamba hawatarejea kazini hadi makubaliano yao n aserikali yaliyowafanya kurejea kazini yatakapotekelezwa. Kupitia kwa muungano wao wa UASU, wahadhiri wameitaka serikali kuwajibika na kutekeleza makubaliano hayo, waliyotia Saini na wizara ya leba kabla ya […]