POLISI WAWATAWANYA WAHADHIRI WANAOGOMA NAIROBI
Polisi jijini Nairobi wamewatanya kwa kuwarushia vitoza machozi wahadhiri waliokuwa wakiandamana wakilalamikia kutoketekelezwa kwa mkataba wao wa maelewano.
Wahadhiri hao ambao wanapanga kuwasilisha hoja kwa bunge la kitaifa, wamekanusha madai ya Waziri wa elimu kwamba wameafikiana kurejea kazini, wakisema hawatatia Saini mkataba ambao unawabagua baadhi yao.
Wakiongozwa na katibu mkuu wa UASU Constantine Wasonga, wahadhiri wameapa kuendelea na mgomo.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































