MAHAKAMA IKO SALAMA
Wafanyikazi wa mahakama wamehakikishiwa usalama wao baada ya hakimu wa mahakama kuu ya makadara Monica Kivuti kipigwa risasi na afisa wa polisi.
Kwa mujibu wa inspekta generali wa polisi Japhet Koome DCI inachunguza kilichosababisha afisa huyo kumpiga risasi hakimu kivuti.
Yakijiri hayo jaji mkuu Martha Koome ameamrisha mahakama ya makadara.
Kufungwa kufuatia kisa hicho hadi pale uchunguzi utakapokamilika.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































