#Local News

SERIKALI YA KILIFI YATOA AJIRA KWA VIJANA

Serikali ya kaunti ya Kilifi imetakiwa kuongeza nafasi za ajira kwa vijana wanaotaka kujisajili katika mpango wa kazi mashinani.

Mkurugenzi wa afisi ya mwakilishi wadi wa Sheila Mohamed Modein anasema kwamba vijana 58 pekee watanufaika na mpango wa kwanza katika awamu ya kwanza ya mpango huo katika eneo hilo.

Ameongeza kuwa mpango huo utapiga jeki juhudi za kukabili uhalifu miongoni mwa vijana.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *