JOPOKAZI LA KUCHUNGUZA DHULUMA LAAPISHWA
Kitendawili cha mauaji yanayokisiwa kuwalenga wanawake kinatarajiwa kuteguliwa hivi karibuni baada ya jopokazi la kuchunguza visa hivyo chini ya uwenyekiti wa aliyekuwa naibu jaji mkuu Nancy Barasa kuapishwa. Mauaji hayo yameibua hofu nchini, takribani wanawake 170 wakiripotiwa kuuawa mwaka uliopita, katibu katika wizara ya usalama Raymond Omollo akilitaka jopokazi hilo kusaka suluhu mara moja. Kwa […]
English 




















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































