MBOLEA YA URUSI: SERIKALI YAVUNJA KIMYA
Serikali imepinga madai kwamba ilipokea mbolea ya bure kutoka kwa serikali ya Urusi na kisha kuipakia upya na kuwauzia wakulima nchini jinsi ilivyoibuliwa na aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua.
Kulingana na katibu katika wizara ya kilimo Paul Rono, Urusi ilitoa tu malighafi magunia elfu 600 ya kutengeneza mbolea, nayo Kenya ikatoa kandarasi kwa kampuni moja ya humu nchini.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































