RUTO AONGOZA HAFLA YA MAOMBI YA KITAIFA NAIROBI
Rais William Ruto leo hii anatarajiwa kuongoza hafla ya maombi ya kitaifa itakayofanyika katika hoteli ya Safari Park jijini Nairobi.
Spika wa bunge la kitaifa Moses Masika Wetangula alitangaza rasmi kuandaliwa kwa hafla hiyo ambayo hufanyika kila mwaka.
Viongozi mbali mbali wa humu nchini na wengine kutoka mataifa ya nje wanatarajiwa kuhudhuria maombi hayo Kauli mbiu ya maombi ya mwaka huu ikiwa ni matumaini.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































