HATIMA YA NYUMBA ZA BEI NAFUU KUJULIKANA LEO
Mahakama kuu leo inatarajiwa kutoa mwelekeo katika kesi ya kupinga utekelezwaji wa sheria ya nyumba kwa bei nafuu.
Majaji Lady Olga Sewe, Chigiti John Mugwimi na Mongare Josephine waliteuliwa na jaji mkuu Martha koome kusikiliza kesi hiyo iliyowasilishwa na wanaharakati wa kutetea haki za binaadamu.
Wakiongozwa na seneta wa Busia Okiya Omtata ndio.
Imetayarishwa na Janice Marete.
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































