#uncategorized

KINDIKI AENDELEZA KAMPENI ZA MICHANGO

Naibu rais Kithure Kindiki ameendeleza kampeni zake na kuchangisha fedha kwa makundi ya akina mama, akidai anawapa uwezo wa kifedha.

Kindiki ameratibiwa kuzuru kaunti ya Kilifi hii leo, baada ya mikutano sawa katika kaunti ya Taita Taveta hapo alikokuwa ameandamana na viongozi mbali mbali akiwemo spika wa bunge la kitaifa Moses Wetang’ula.

Wameendelea kuwashutumu viongozi wa upinzani kwa madai ya ukabila.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *