#Local News

DAVJI ATELLAH; AKAUNTI YA KMPDU YA X IMEDUKULIWA

Katibu Mkuu wa Muungano wa Madaktari, nchini (KMPDU) Davji Atellah amesema kwamba akaunti yao ya mtandao wa kijamii wa X imedukuliwa.

Katika taarifa ya leo Jumatatu, Atellah amekanusha kusimamishwa kwa maandamano yao yaliyopangwa “Occupy MOH”.

Ameongeza kuwa wanafanya kila wawezalo kurejesha udhibiti wa akaunti hiyo.

Imetayarishwa na Janice Marete

DAVJI ATELLAH; AKAUNTI YA KMPDU YA X IMEDUKULIWA

AULIWA BAADA YA KUMUUA MKEWE KWA SABABU

DAVJI ATELLAH; AKAUNTI YA KMPDU YA X IMEDUKULIWA

RAILA AJIPIGIA DEBE KUWA MWENYEKITI WA AU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *