MAGAVA WAPINGA MAJARIBIO YOTE YA KUPUNGUZA MGAO WA SERIKALI ZA KAUNTI
Magavana wameendelea kupinga hatua zozote zinazolenga kupunguza mgao wa kaunti kutoka bilioni 400 hadi bilioni 380.
Wakiwa mbele ya kamati ya seneti ya bajeti wameonya kuwa kupunguzwa kwa fedha za kaunti kutahujumu utendakazi wa sekta muhimu kama vile sekta ya afya.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































