#Local News

MAANDAMANO YA USHURU MOMBASA

Licha ya serikali kuondoa baadhi ya vipengee kwenye mswada wa kifedha wa mwaka 2024-25, wakazi katika kaunti ya Mombasa wanaendeleza maandamano dhidi ya mswada huo, wanaosema unamkandamiza mwananchi.

Wakiwa na mabango, wakazi hao wamendamana katikati mwa jiji la Mombasa wakilenga kuwashinikiza wabunge wao kutupilia mbali mswada huo.

Aidha, wakazi hao wamedai kuwa hatua ya kuondoa baadhi ya vipengee kwenye mswada huo inalenga kuwafumba macho.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MAANDAMANO YA USHURU MOMBASA

WAKULIMA BUSIA WAPINGA ETIMS

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *