#Local News

UCHUNGUZI BAADA YA MOTO KUTEKETEZA DUKA LA BUNGE LA KAUNTI YA MIGORI

Polisi katika Kaunti ya Migori wanachunguza hali ambapo moto umeteketeza duka la bunge la kaunti
Kamanda wa polisi wa Kaunti Ndogo ya Suna Mashariki Ezekiel Kiche amesema uchunguzi wa awali umebaini kuwa mfanyakazi wa bunge la kaunti alikuwa akichoma taka katika eneo la kuzoa taka moto huo uliposambaa hadi kwenye chumba cha kuhifathi chakula

Kiche amesema duka hilo la muda liliteketezwa na moto kabla ya mashine ya kuzima moto ya kaunti hiyo kuizima.

Imetayrishwa na Janice Marete

UCHUNGUZI BAADA YA MOTO KUTEKETEZA DUKA LA BUNGE LA KAUNTI YA MIGORI

BUNGE LAMWIDHINISHA KANJA KUWA INSPEKTA MKUU

UCHUNGUZI BAADA YA MOTO KUTEKETEZA DUKA LA BUNGE LA KAUNTI YA MIGORI

WAKAZI WA MATAYOS KAUNTI YA BUSIA WAHIMIZWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *