#Local News

KURIA AWASUTA VIONGOZI WANAOUNGA ONE MAN ONE VOTE ONE SHILING

Waziri wa huduma za umma Moses Kuria amepinga vikali mfumo wa One Man One Vote One Shilling

Akizungumza katika kaunti ya Kiambu kuria ametaja mfumo huo kuwa wa kuwagawanya wakenya kwa misingi ya kimaeneo na kikabila

Kuli ya kuria inajiri baada ya kuhapa kutojihusisha na maswala ya kisiasa hadi mwezi agosti mwaka huu

Imetayarishwa na Janice Marete

KURIA AWASUTA VIONGOZI WANAOUNGA ONE MAN ONE VOTE ONE SHILING

KUMI WASHTAKIWA KATIKA KESI YA ULAGHAI YA

KURIA AWASUTA VIONGOZI WANAOUNGA ONE MAN ONE VOTE ONE SHILING

EDDY OKETCH AKASHIFU HATUA YA RUTO KUFANYA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *