VIONGOZI WAWASHAURI VIJANA WAJIHAMI KWA KURA
Viongozi mbali mbali nchini wametoa wito kwa vijana kujitokeza kwa wingi na kujiandikisha kama wapiga kura katika zoezi linaloendelea nchini baada aya kuzinduliwa na tume ya IEBC.
Akizungumza katika eneo bunge lake, mwenyekiti wa muungano wa wabunge wa Magharibi mwa nchi ambaye pia ni mbunge wa Sirisia John Waluke, amesema hiyo ndiyo njia ya pekee kwa vijana kuleta mageuzi ya uongozi wanayopambania.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































