#Local News

VIONGOZI WAWASHAURI VIJANA WAJIHAMI KWA KURA

Viongozi mbali mbali nchini wametoa wito kwa vijana kujitokeza kwa wingi na kujiandikisha kama wapiga kura katika zoezi linaloendelea nchini baada aya kuzinduliwa na tume ya IEBC.

Akizungumza katika eneo bunge lake, mwenyekiti wa muungano wa wabunge wa Magharibi mwa nchi ambaye pia ni mbunge wa Sirisia John Waluke, amesema hiyo ndiyo njia ya pekee kwa vijana kuleta mageuzi ya uongozi wanayopambania.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

VIONGOZI WAWASHAURI VIJANA WAJIHAMI KWA KURA

VIJANA WAJITOKEZA KUSAJILIWA NA IEBC

VIONGOZI WAWASHAURI VIJANA WAJIHAMI KWA KURA

BARASA AMKOSOA UHURU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *