#Local News

MGOMO: WAKAZI WA KISII WAPATA AFUENI

Ni afueni kwa wakazi wa kaunti ya Kisii baada ya mgomo wa wahudumu wa afya uliokuwa umeratibiwa kuanza hii leo kuahirishwa.

Hatua hiyo imejiri baada ya serikali ya kaunti hiyo kuelewana na uongozi wa miungano ya wahudumu hao kuhusu malalamishi yao.

Akizungumza katika hospitali ya rufaa mjini Kisii, Waziri wa afya Ronald Nyakweba ameahidi kwamba wahudumu waote wataongezwa mishahara.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MGOMO: WAKAZI WA KISII WAPATA AFUENI

GAVANA MUTAI ABANDULIWA

MGOMO: WAKAZI WA KISII WAPATA AFUENI

KAWI GHALI YAATHIRI AFYA, KILIMO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *