SERIKALI SAIDIA
Matumaini ya Stephen Munyakho mkenya aliyehukumiwa kunyongwa nchini Yemen yanaendelea kudidimia baada ya waziri wa maswala ya nje na mwenye mamlaka makuu Musalia Mudavadi kufichua kwamba serikali ya Kenya haina pesa za kulipa fidia ya shilingi milioni 150 inayodaiwa na familia ya marehemu.
Munyakho huenda akanyongwa kabla ya mwezi huu wa Julai kukamilika iwapo pesa hizo hazitapatikana.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































