BARAZA LA WATU WANAOISHI NA ULEMAVU LAANZISHA KAMPENI KUWASAIDIA WALEMAVU
Baraza la kitaifa la watu wanaoishi na ulemavu limeanzisha kampeni ya kuwasaidia watu wanaoishi na tawahudi au autism, Cerebral Palsy, kifafa na down syndrome.
Mkurugenzi mtendaji Aron Hassan anasema kuwa tayari wamewatambua wagonjwa 18000 waliokuwa wakiishi na autism jambo ambalo kulingana naye ni garama kubwa kuwatibu.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 

















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































