#Local News

BARAZA LA WATU WANAOISHI NA ULEMAVU LAANZISHA KAMPENI KUWASAIDIA WALEMAVU

Baraza la kitaifa la watu wanaoishi na ulemavu limeanzisha kampeni ya kuwasaidia watu wanaoishi na tawahudi au autism, Cerebral Palsy, kifafa na down syndrome.

Mkurugenzi mtendaji Aron Hassan anasema kuwa tayari wamewatambua wagonjwa 18000 waliokuwa wakiishi na autism jambo ambalo kulingana naye ni garama kubwa kuwatibu.

Imetayarishwa na Janice Marete

BARAZA LA WATU WANAOISHI NA ULEMAVU LAANZISHA KAMPENI KUWASAIDIA WALEMAVU

OMTATA: KUNA SIRI NYINGI KATIKA MRADI WA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *