#Local News

RUTO AMHAKIKISHIA JUMWA WADHIFA SERIKALINI

Rais william Ruto amemhakikishia aliyekuwa Waziri wa jinsia Aisha Jumwa kwamba hatamuacha nje ya serikali yake licha ya kumtimua kutoka baraza la mawaziri.

Rais ametoa hakikisho hilo akiwa kwenye ziara ya maendeleo katika kaunti ya Kilifi, ambako Jumwa amempongeza rais kwa kuwatetua mawaziri wawili kutoka mwambao wa pwani.

Aidha, Jumwa ameahidi kushirikiana na mawaziri hao kuhakikisha maslahi ya wakazi yanaangaziwa.

Naye rais Ruto amesema ana matumaini katika mawaziri aliowateua kutoka eneo hilo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO AMHAKIKISHIA JUMWA WADHIFA SERIKALINI

DENI LA TAIFA HUENDA LIKAONGEZEKA

RUTO AMHAKIKISHIA JUMWA WADHIFA SERIKALINI

MAREKANI YAMSUTA RUTO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *