#Local News

UCHUNGUZI WA FIGO WATUA ELDORET

Serikali inaendeleza juhudi za kutegua kitendawili cha upandikizaji wa viungo vya mwili ikiwemo figo na madai ya ulanguzi wa viungo hivyo katika hospitali ya kibinafsi ya Mediheal, tayari malalamishi ya wananchi yakianza kupokelewa jijini Eldoret.

Mwenyekiti wa kamati inayochunguza huduma za upandikizaji huo profesa Elizabeth Bukusi, amewataka wakazi walio na malalamishi kuhusu huduma hizo katika vituo mbali mbali vya afya kutoa maoni yao ili kufanikisha uchunguzi unaoendelea.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UCHUNGUZI WA FIGO WATUA ELDORET

DIG LANGAT KIKAANGONI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *