#uncategorized

LISHE HATARI YAWAUA 4 KITUI

Polisi katika eneo la Kyuso kaunti ya Kitui wanachunguza kisa ambapo watu 4 kutoka Kijiji cha Nganda wamefariki baada ya kula chakula kinachoshukiwa kuwa kibovu.

Akithibitisha vifo hivyo, OCPD wa Kyuso Edwin Otieno, amesema waathiriwa walikuwa miongoni mwa watu waliokuwa wamekutana nyumbani wka mkazi mmoja eneo hilo ambako walishiriki chakula cha Pamoja, na kisha wakaanza kulalamikia maumivu ya tumbo.

Kulingana na Otieno, watu watatu walifariki wakiwa njiani kuelekea katika hospitali Kyuso level 4, wa nne akafariki alipokuwa akipokea matibabu na wengine watatu wanaendelea kutibiwa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

LISHE HATARI YAWAUA 4 KITUI

SERIKALI: REJESHENI MITUNGI YA CYANIDE

LISHE HATARI YAWAUA 4 KITUI

MRATIBU AYAKANA MASHIRIKA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *