#Local News

KARUA AILAUMU TUME YA MAHAKAMA KWA KASORO KUU MAHAKAMANI

Tume ya Huduma za Mahakama inapaswa kubeba lawama kutokana na kasoro zinazoshuhudiwa katika Mahakama ya Upeo.

Hayo ni kwa mujibu wa kiongozi wa chama cha Peoples Liberation Party (PLP), Martha Karua, ambaye anadai kuwa baadhi ya maafisa wanaohudumu katika tume hiyo hawana sifa stahiki, huku wengine wakidaiwa kuteuliwa kwa njia za kifisadi.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *