#uncategorized

‘DISHI NA KAUNTI ITAENDELEA ‘ SAKAJA ASEMA

Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja amewahakikishia wazazi na wanafunzi kwamba mpango wa kulisha shuleni wa Dishi na County katika kaunti ya nairobi  hautaathiriwa na mpango wa serikali ya kitaifa wa kukomesha programu za kulisha shuleni.

Haya yanajiri baada ya Hazina ya Kitaifa kutoa pendekezo la kutupilia mbali  mgao wa fedha wa mpango wa lishe shuleni katika makadirio ya bajeti ya mwaka wa fedha wa 2024/2025.

TUACHE SIASA ZA UKABILA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *