#Local News

IBADA YA MAZISHI YA ODINGA KUANZA

Ibada ya kitaifa ya mazishi ya waziri mkuu wa zamani Raila Odinga inatarajiwa kuanza muda wowote kuanzia sasa, ikiratibiwa kudumu kwa muda wa saa 2 pekee kuanzia saa tatu asubuhi katika uwanja wa michezo wa Nyayo.

Kwa mujibu wa mwenyekiti mwenza wa kamati ya kitaifa ya mazishi ya Odinga naibu Rais Kithure Kindiki, ibada hiyo pia itahudhuriwa na viongozi wa mataifa na serikali mbali mbali.

Mwili wa Odinga utapelekwa katika kaunti ya Kisumu hapo kesho kabla ya mazishi Jumapili.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

IBADA YA MAZISHI YA ODINGA KUANZA

MWILI WA ODINGA WAWASILISHWA KASARANI

IBADA YA MAZISHI YA ODINGA KUANZA

POLISI WAIMARISHA DORIA NAIROBI 

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *