#Local News

WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA CHUKA WAGOMA

Shughuli za biashara na usafiri zimetatizika katika barabara ya chuka meru kaunti ya Tharaka nyithi kufuatia maandamano yanayoendelea.

Maandamano hayo yanawahusisha wanafunzi wa chuo kikuu cha chuka wakilalamikia utovu wa usalama barabarani eneo la chuo hicho.

Wanafunzi hao wanahoji kuwa wenzao wamehusika katika ajali ya barabarani haswa katika eneo la Ndagani.

Wanaitaka serikali kupitia mamlaka ya barabara kuu nchini KENHA kuweka matuta kwenye barabara hiyo na vile ile kutenga sehemu ya wapiti njia kuvuka.

Imetayarishwa na Janice Marete

WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA CHUKA WAGOMA

RAIS RUTO AONGOZA GWARIDE LA KUFUZU KWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *