#Local News

WANJIGI AENDELEA ‘KULINDWA’ NA MAHAKAMA

Mahakama kuu imeongeza muda wa agizo la kuwazuia maafisa wa polisi dhidi ya kumakamata mfanyabaishara Jimi Wanjigi hadi tarehe 19 mwezi ujao.

Katika agizo hilo jipya, jaji Bahati Mwamuye ametoa uamuzi huo ingawa akadinda kutoa agizo la kuwazuia polisi kumfungulia mashtaka Wanjigi.

Kwa mujibu wa jaji huyo, ombi la Wanjigi mapema wiki hii linagusia tu masuala ya kukamatwa pekee, na kumpa siku 7 kuwasilisha ombo jipya.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WANJIGI AENDELEA ‘KULINDWA’ NA MAHAKAMA

IPOA KIKAANGANI MBELE YA BUNGE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *