#Local News

VIONGOZI AFRIKA WAMUUNGA ODINGA MKONO

Azma ya kiongozi wa Azimio Raila Odinga kuwania wadhifa wa uwenyekiti wa tume ya umoja wa Afrika AUC imepigwa jeki baada ya viongozi mbali mbali wa bara la Afrika kutangaza kumuunga mkono.

Viongozi hao ni Pamoja na rais wa Uganda Yoweri Museveni, Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, Salva Kiir wa South Sudan, rais wa zamani wa Nigeria Olusegun Obasanjo miongoni mwa wengine.

Wametangaza uamuzi wao katika ikulu ya Rais jijini Nairobi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *