#Athletics #Sports

TOLEO LA TATU LA NAIROBI CITY MARATHON LIMEAHIRISHWA

Shirikisho la riadha nchini na kamati ya maandalizi ya nairobi city marathoni zimetangaza kuahirishwa kwa toleo la tatu la mashindano hayo

Kwa mujibu wa kamati andalizi mbio hizo zimesitishwa kwa sababu zisizoweza kuepukika na kwamba hafla hiyo itafanyika septemba tarehe nane mwaka huu

Imetayarishwa na Janice Marete

TOLEO LA TATU LA NAIROBI CITY MARATHON LIMEAHIRISHWA

EMERGING STARS WACHARAZA ZIMBABWE 2-0

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *