#Local News

WAZAZI WATAKIWA KUWAPA WATAHINIWA WA MITIHANI YA KITAIFA MAZINGIRA BORA YA KUFANYIA MITIHANI YAO

Wazazi na walezi wametakiwa kuwapa watahiniwa wa mitihani ya kitaifa mazingira wezeshi ili waweze kufanya mitihani yao kwa amani.

Kamishina wa kaunti ya transnzoia Gedeon Oyagi amesema kuwa mikakati kabambe imewekwa kuhakikisha hakuna visa vya udanganyifu vinashuhudiwa miongoni mwa watahiniwa zaidi ya 20,000 katika kaunti hiyo.

Imetayarishwa na Janice Marete

WAZAZI WATAKIWA KUWAPA WATAHINIWA WA MITIHANI YA KITAIFA MAZINGIRA BORA YA KUFANYIA MITIHANI YAO

WATAKAOUTUZWA WACHAGULIWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *