#Local News

KAWU: MGOMO WETU BADO UPO

Muungano wa wafanyakazi wa viwanja vya ndege KAWU umesisitiza kuwa mgomo wao wa kuanzia tarehe 1 mwezi ujao tarehe ungalipo iwapo bodi ya mamlaka ya ndege KAA haitajiuzulu.

KAWU ilitoa notisi ya siku 7, ikisema imekosa Imani na utendakazi wa bodi hiyo kutokana na madai kwamba inatoa nyadhifa za ajira kwa upendeleo au hata kupokea hongo kabla ya kufanya hivyo.

Katibu mkuu wa muungano huo Moss Ndiema anasema mazungumzo na bodi hiyo yamefeli.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KAWU: MGOMO WETU BADO UPO

UHURU KUONGOZA MKUTANO WA JUBILEE

KAWU: MGOMO WETU BADO UPO

IEBC TAYARI KWA USAJILI, MWENYEKITI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *