#Local News

ODM YAMWITA RUTO AREJEE NYUMBANI 

Rais William Ruto atapeperusha bendera ya chama cha ODM kwenye kinyang’anyiro cha urais kwenye uchaguzi mkuu iwapo atakubali kurejea chamani humo.

Haya ni kwa mujibu wa naibu kinara wa ODM Simba Arati, ambaye amemtaja Ruto kama mwaasisi wa chama hicho na hivyo ana nafasi yake chamani.

Kwenye hotuba yake ya Mashujaa hapo jana, Arati ambaye ni gavana Kisii amewataka wanachama kudumisha umoja.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

ODM YAMWITA RUTO AREJEE NYUMBANI 

KCSE KUANZA LEO

ODM YAMWITA RUTO AREJEE NYUMBANI 

RUTO: NITAREJELEA ZIARA YANGU UKAMBANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *