#Local News

KIONI AWASUTA WAKOSOAJI

Katibu mkuu wa chama cha Jubilee Jeremiah Kioni amepuzilia mbali kauli za baadhi ya viongozi kwamba eneo la Mlima Kenya halifai kulalamika kwani limetengewa nafasi nyingi serikalini.

Kwenye mahojiano na kituo kimoja cha redio, Kioni amesema kuwa na kiongozi kutoka eneo hilo haimaniishi kwamba maslahi ya wakazi yameshughulikiwa kikamilifu.

Aidha, ametetea mfumo wa ugavi wa mapato kwa misingi ya idadi ya watu, akisema eneo la mlima Kenya litafaidika pakubwa kupitia mfumo huo.

Imetayarishwa na: Antony Nyongesa

RUTO AOMBOLEZA KIFO CHA RAISI

NETANYAHU, HAMAS KUWASILISHWA ICC

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *