#Local News

RUTO AINGIA SOUTHRIFT

Wakazi wa eneo la Southrift wameratibiwa kunufaika na uzinduzi wa miradi ya maendeleo kwenye ziara ya Rais William ambayo imeanza hii leo.

Akizungumza katika eneo la Ntulele kaunti ya Narok ambako amezindua rasmi soko, Rais Ruto amewahimiza wakazi kukumbatia mshikamano wa taifa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO AINGIA SOUTHRIFT

WAKENYA WACHUNGULIA IEBC MPYA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *