#Local News

MWANAMME AMUUA MKEWE, AJIUA MWINGI

Polisi katika eneo la Mwingi East wanachunguza kisa ambapo mwanamme mmoja ameripotiwa kumwua mkewe kwa kumkataka kwa upanga kabla ya kujitoa uhai kwa kunywa sumu katika wadi ya Moi.

Kwa mujibu wa wakazi, wanandoa hao wamekuwa na mzozo wa mara kwa mara, wakisema polisi wamewahi kuingilia ugomvi wa wawili hao.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *