#Local News

MWANAMME AMUUA NDUGUYE HOMABAY

Polisi huko Homabay wanamsaka mwanamme anayedaiwa kumuua nduguye katika kijiji cha Ringa baada yao kutofautiana.

Mwili wa Lawrence Obonyo ulipatikana baada yao mapigano kuzuka kati yao kuhusu umiliki wa ardhi.

Mshukiwa anadaiwa kuelekea mafichoni baada ya kutishiwa na umati wa wenyeji waliotaka kumwangamiza.

Imetayarishwa na Maureen Mukhobe

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *