SHIF NI HARAMU
Mahakama Kuu imetangaza Bima ya Afya ya Jamii SHIF kuwa kinyume na katiba.
Wakati wakitoa uamuzi wao, Majaji Alfred Mabeya, Robert Limo na Friday Mugambi wameipatia Bunge makataa ya siku 120 kufanya marekebisho ya Sheria hiyo.
Jopo la majaji watatu limesema bunge linapaswa kushiriki ipasavyo kwa wananchi kwa mujibu wa katiba kabla ya kutunga sheria hiyo hiyo na kufanya marekebisho ya vifungu vinavyokiuka katiba.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































