MAHAKAMA YAZIKA SHERIA YA SERIKALI

Mahakama ya rufaa imetia msumari wa mwisho kwenye jeneza la serikali, baada ya kudumisha uamuzi wa mahakama kuu kwamba sheria ya fedha ya mwaka 2023 ni kinyume na katiba, ikisema kwamba mchakato wa kuitengeneza sheria hiyo ulikuwa na dosari. Kwenye uamuzi wake, majaji Kathurima M’inoti, Agnes Murgor na John Mativo wamesema mchakato huo ulikiuka vipengee […]

KISA CHA KWANZA CHA MPOX CHARIPOTIWA KENYA

Wizara ya afya imegundua kisa cha kwanza cha ugonjwa wa Mpox ambao husababishwa na virusi vya monkeypox katika kaunti ya Taita Taveta. Katika taarifa, wizara hiyo imesema mgonjwa wa ugonjwa huo amegunduliwa mpakani alipokuwa akisafiri kutoka Uganda keuelekea Rwanda kupitia hapa nchini. Wizara hiyo aidha amewatahadharisha wananchi kuwa makini na ugonjwa huo ambao huenezwa kupitia […]

GARISSA: KORTI YAAMURU SERIKALI IWAFIDIE WAATHIRIWA

Mahakama kuu imeiagiza serikali ya Kenya kulipa fidia ya shilingi milioni 441 kwa familia za wanafunzi 147 waliouawa katika shambulizi la kigaidi dhidi ya chuo kikuu cha Garissa mnamo tarehe 2 mwezi Aprili mwaka 2015. Aidha, mahakama imeiagiza serikali kuwalipa waathiriwa wa shambulizi hilo shilingi milioni 56 kama fidia, ambao wa walipata majeraha mwilini na […]

MAHAKAMA YAPINGA OMBI LA MAGAVANA KUHUSU MALIPO YA UZEENI

Magavana wamepata pigo baada ya mahakama kuu kuamuru kwamba magavana na manaibu wao hawana haki ya kupokea marupurupu ya uzeeni katika mpango sawa na ule wa maafisa wakuu katika serikali ya kitaifa. Uamuzi huo umetolewa kufuatia kesi iliyowasilishwa na baraza la magavana dhidi ya tume ya kuratibu mishahara ya wafanyakazi wa umma SRC inayosema serikali […]

‘KATIBU MKUU BANDIA’ UDA AJERUHIWA

Joe Khalende aliyejitangaza kuwa katibu mkuu wa chama tawala cha UDA sasa anauguza majeraha baada ya kusambuliwa na watu wanachama wanaoaminika kuwa wafuasi wa katibu mkuu Cleophas Malala katika makao makuu ya chama hicho. Khelende amepata majeraha kichwani, akidai kwamba kuna watu walio na njama ya kummwangamiza. Kundi la watu waliomshambulia limekuwa likiimba nyimbo za […]

NAIROBI KUWA MWENYEJI WA MAONYESHO YA 8 YA AGRO-FOOD PACK

Toleo la 8 la Maonyesho ya Agro-Food linatazamiwa kufanyika eneo la Sarit centre jijini Nairobi kuanzia tarehe 8 hadi 10 Agosti. Toleo hilo la kila mwaka linalosifika kwa michango yake kwa tasnia ya chakula na kampuni mbali mbali za uzalishaji na huandaliwa na kampuni ya hafla ya MXM Exhibitors yenye makao yake Dubai. Akizungumza kuhusu […]

KENYA KUANGAZIA UPYA SERA YA MAMBO YA NJE ILI KUENDANA NA MWELEKEO WA DUNIA

Serikali kuu hapo jana imetoa wito wa kuangazia upya sera ya mambo ya nje ya nchi ili kuleta umuhimu na ufanisi katika kuhimiza maslahi na maadili ya kitaifa. Waziri wa mambo ya nje ya nchi na diaspora Musalia Mudavadi amesema, mwelekeo wa dunia unaathiri ufanisi wa nchi na kufafanua upya sera ya mambo ya nje […]

NATEMBEYA; TUSIJIUE TUKIKUMBWA NA MFATHAIKO

Shughuli ya kutafuta mwili wa mwanafunzi wa kidato cha tatu aliyezama katika mto wa Koitobos ingali inaendelea. Kwa mujibu wa barua aliyoandika Mwanafunzi huyo inadaiwa kuwa alijirusha katika mto huo kutokana ka msongo wa mawazo. Gavana wa kaunti hiyo George Natembeya amefika eneo la Tukio ambapo ameahidi kuwatuma wapiga mbizi zaidi kusaidia katika shughuli hiyo. […]

HADHI MPYA YA JIJI LA ELDORET ITAKUZA UCHUMI – MAGAVANA WA NORTH RIFT

Gavana wa Uasin Gishu Jonathan Bii amewakaribisha magavana kutoka North Rift kabla ya kukabidhiwa hadhi ya mji wa Eldoret kuwa jiji mnamo Agosti 8. Waliokuwepo ni Stephen Sang (Nandi, Wisley Rotich (Elgeyo Marakwet) na Jeremiah Lomurukai (Turkana), ambao wamesema mwinuko huo utaimarisha hali ya kiuchumi ya eneo hilo. Sang ni mwenyekiti wa Jumuiya ya Kiuchumi […]

MAHAKAMA KUAMUA IWAPO SERIKALI ITAWAFIDIA WAATHIRIWA WA SHAMBULIO LA CHUO KIKUU CHA GARISSA

Mahakama ya majaji watatu leo, itaamua kesi ambapo manusura wa shambulio la Aprili 2, 2015 katika Chuo Kikuu cha Garissa waliishtaki serikali kwa uzembe. Wanafunzi hao ambao walipata majeraha wakati wa shambulio hilo, pamoja na wazazi wao walielekea mahakamani kuomba fidia ya serikali kwa madai kuwa (nchi) ilikuwa na taarifa na taarifa za shambulio hilo […]