#Local News

RAIS AZURU EMBAKASI

Rais William Ruto amezidi kuwapuuzilia mbali wapinzani wake anaosema hawana sera zozote kwa wakenya na lengo lao pekee na kutaka kumwondoa mamlakani.

Akiongea huko Embakasi Mashariki ambako ameshuhudia miradi tofauti ya ujenzi wa barabara rais ameelezea mpangilio alio nao kuhakikisha kuwa vijana wanapata ajira.

Imetayarishwa na Maureen Muhkobe

RAIS AZURU EMBAKASI

PETROVIC AJIUNGA NA BOURNEMOUTH

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *