#Local News

MAHAKAMA YAHARAMISHA NYONGEZA YA KODI

Mahakama kuu ya Mombasa imesitisha utekelezaji wa nyongeza ya kodi ya ukarabati barabara inayotozwa kwa bidhaa za kawi iliopaswa kuanza kutekelezwa tarehe 15 mwezi jana.

Jaji wa mahakama hiyo Gregory Mutai ametoa agizo hilo wakati mamlaka ya barabara kuu nchini Kenya imetoa taarifa ikiwaeleza wakenya umuhimu wa kodi hiyo ikiwemo kuimarisha ubora wa barabara.

Hata hivyo, uamuzi wa mahakama unamaanisha kwamba nyongeza ya shilingi 8 kwa lita ya petroli haitatekelezwa. 

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MAHAKAMA YAHARAMISHA NYONGEZA YA KODI

ELDORET JIJI RASMI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *