#Local News

SALASYA ATAKA MIRADI ILIYOKWAMA IKAMILISHWE

Mbunge wa mumias Mashariki Peter Salasya ametoa wito kwa serikali ya kitaifa kuweka mikakati ya kukwamua miradi ambayo imekwama katika kaunti ya kakamega na kuhakikisha imekamilika kwa wakati.

Imetayarishwa na Janice Marete.

SALASYA ATAKA MIRADI ILIYOKWAMA IKAMILISHWE

TUACHE KUPINGA MSWADA 2024-2025

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *