#Local News

RUTO AZINDUA KITUO CHA SARATANI KISII

Rais William Ruto amezindua rasmi ujenzi wa kituo kikuu cha matibabu ya magonjwa ya saratani mjini Kisii, ujenzi huo ukiratibiwa kugharimu shilingi bilioni 3.2.

Kwa mujibu wa Rais, ujenzi huo utakamilika ndani ya kipindi cha mwaka mmoja unusu ili kuwapa wakenya nafuu kuhusiana na gharama ya matibabu ya saratani.

Rais amezindua ujenzi huo alipokuwa kwenye siku yake ya pili ya ziara katika kaunti za Kisii na Nyamira.

Wakati uo huo, Rais amewapuzilia mbali wanaokosoa ushirikiano wake na chama cha ODM.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO AZINDUA KITUO CHA SARATANI KISII

DATA YA BEI NAFUU HUVUTIA MTANDAO WA

RUTO AZINDUA KITUO CHA SARATANI KISII

HATUA ZA MUTUA KUEPUSHA MGOMO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *