#Local News

MSHTUKO MIILI 9 IKIPATIKANA MUKURU

Wenyeji katika mtaa wa Mukuru jijini Nairobi waemachwa na mshtuko baada ya miili 9 ya binadamu kupatikana kwenye shimo moja baadhi ikiwa imekatwakatwa karibu na kituo cha polisi cha Kware mtaani humo.

Kamanda wa polisi kaunti ya Nairobi Adamson Bungei, amesema miili 8 ni ya kike, huku akisema uchunguzi umeanzishwa.

Miili hiyo imepatikana na kundi la vijana eneo hilo, na imepelekwa katika hifadhi ya City.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MSHTUKO MIILI 9 IKIPATIKANA MUKURU

MWANAMKE AJICHOMA NA MWANAWE KASARANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *