#Local News

UPINZANI WAMTAKA MURKOMEN NJE

Viongozi wa upinzani Kalonzo Musyoka na Eugene Wamalwa wanashinikiza kujiondoa afisini kwa waziri wa usalama Kipchumba Murkomen kufuatia kifo cha mchuuzi Boniface Kariuki aliyefariki kutokana na jeraha la risasi kichwani.

Wakizungumza baada ya kuitembelea familia hiyo, viongozi hao wamekariri kuwa Murkomen anafaa kuwajibikia kifo hicho.

Familia hiyo kwa sasa anaendeleza mipango ya mazishi ya jamaa yao.

Imetayarishwa na Tonny Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *