WAMATANGI AHUSISHA TAARIFA ZA VIFO NA SIASA
Serikali ya kaunti ya Kiambu imepuzilia mbali taarifa kuhusu vifo vya Watoto katika hospitali za kaunti hiyo kutokana na mgomo wa madaktari, ikizitaja taarifa hizo kuwa zilizochochewa kisiasa.
Kulingana na gavana Kimani Wamatangi, taraifa hizo zinaenezwa na viongozi wa kaunti hiyo baada yake kuwazuia kunyakua ardhi ya umma na kufuja fedha umma kupitia tenda.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































