WAMATANGI AHUSISHA TAARIFA ZA VIFO NA SIASA
Serikali ya kaunti ya Kiambu imepuzilia mbali taarifa kuhusu vifo vya Watoto katika hospitali za kaunti hiyo kutokana na mgomo wa madaktari, ikizitaja taarifa hizo kuwa zilizochochewa kisiasa.
Kulingana na gavana Kimani Wamatangi, taraifa hizo zinaenezwa na viongozi wa kaunti hiyo baada yake kuwazuia kunyakua ardhi ya umma na kufuja fedha umma kupitia tenda.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































