UNASAFISHA MAJI CHAFU?;SIFUNA AWAAMBIA WABUNGE

Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna amepuuzilia mbali mpango wa serikali kufanyia marekebisho baadhi ya mapendekezo katika Mswada wa Fedha wa 2024 kwa akisisitiza kuwa wabunge wa mrengo wa Azimio wanapendekeza mswada huo ufutiliwe mbali kwa kuwa unalenga kupandisha gharama ya maisha kwa wakenya.
Imetayarishwa na Janice Marete