#Local News

MFUMO MPYA WA KUTUMA MAOMBI YA MIKOPO UKO SAWA

Wazazi, wanafunzi na washikadau mbali mbali katika sekta ya elimu wametakiwa kupuuza madai ambayo yamekuwa yakisambazwa kuhusiana na mfumo mpya wa kutuma maombi ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kwa madai kwamba ni porojo tu zisizokua na ukweli wowote.

Akizungumza wakati wa kuwahamazisha wazazi na wanafunzi kuhusu mfumo huo prof Solomon Shibairu mfumo huo haulengi kumtoza mwanafunzi au mzazi karo zaidi bali unalenga kumpunguzia mzazi mzigo wa karo ya shule.

Imetayarishwa na Janice Marete

MFUMO MPYA WA KUTUMA MAOMBI YA MIKOPO UKO SAWA

WANJIGI; SERIKALI INANIULIZA NINI?

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *