#Local News

KUPPET YATAKA KUREGESHWA KWA BIMA YA MATIBABU

Chama cha walimu Kuppet kimetoa wito wa kuregeshwa kwa bima ya matibabu kwa wanachama wake
Kwa mujibu wa kaimu katibu mkuu wa KUPPET Moses Thurima wamekuwa wakipokea malalamiko kutoka kwa wanachama wao kuhusu bima hiyo.

Ameongeza kuwa walimu wanaweza tu kupata huduma zinazotafutwa kutoka kwa hosipitali za umma ambazo mara nyingi hazina vifaa.

Imetayarishwa na Janice Marete

KUPPET YATAKA KUREGESHWA KWA BIMA YA MATIBABU

UIGEREZA YAILAZA UHOLANZI 2-1

KUPPET YATAKA KUREGESHWA KWA BIMA YA MATIBABU

SENETI KUANDAA VIKAO SEPTEMBER BUSIA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *