#Local News

WITO WA WANAHARAKATI MAKUENI KWA WABUNGE

Wanaharakati katika kaunti ya Makueni wamewataka wabunge kuutupilia mswada unaolenga kupiga marufuku maandamano karibu na baadhi ya taasisi za serikali uliowasilishwa bungeni na mwakilishi wa kike kaunti ya Nairobi Esther Passaris.

Kulingana nao, mswada huo unakandamiza haki ya maandamano na ikiwa utapitishwa basi utalirejesha nyuma taifa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WITO WA WANAHARAKATI MAKUENI KWA WABUNGE

OJWANG KUZIKWA LEO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *