MWANGAZA APUMUA TENA KWA FURAHA
Gavana wa Meru Kawira Mwangaza amepata afueni baada ya mahakama kuu kubatilisha uamuzi wa bunge la seneti wa kumbandua kutoka afisini.
Katika uamuzi huo, Jaji Bahati Mwamuye vile vile amemwagiza spika wa bunge la Seneti Amason Kingi kutochapisha tangazo la afisi ya gavana wa Meru kuwa wazi kwenye gazeti rasmi la serikali.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































